Skip to main content

Wahudumu wa afya wakujitolea waitaka serikali ya kaunti ya Mombasa kuweka mikakati ya kuwalipa mishahara ya kudumu

Na Mwarandu Randu
Mhudumu wa afya mashinani akitoa huduma kwa wanajamii FILE PHOTO
Wahudumu wa afya wa kujitolea kutoka nyanjani wameitaka serikali ya kaunti ya Mombasa kuweka mikakati thabiti ili waweze kupata mishahara ya kudumu.

Akizungumza na wanahabari kaunti ya Mombasa Jennifer Muthoni mmoja wa wahudumu hao kutoka Mikindani amesema wanapitia changamoto si haba wakati wanapowahudumia wanajamii.

Amesisitiza kuwa malipo hayo yataweza kukidhi baadhi ya mahitaji ya jamii zao huku akisema kuwa wana kazi ya ziada mashinani.

Vile vile, ameongeza kuwa wahudumu hao ni kiungo muhimu kwa jamii hasa ikizingatiwa kuwa huwasaidia maafisa wa afya mashinani.

Wakati uo huo,Charity Baya kutoka eneo bunge la Jomvu amesema serikali ya kaunti ina jukumu la kuwalipa wahudumu hao kufuatia kazi wanayoitekeleza mashinani.

Ameongeza kuwa wengi wao wamekosa ajira hivyo hutegemea sana huduma hiyo.

Charity aidha ameitaka serikali ya kaunti kuangazia kwa makini suala hilo ili wahudfumu hao waweze kupata mapato yatakayokidhi mahitaji yao.


Comments

Popular posts from this blog

Involve all stakeholders when proposing new laws- BOTTAX General Secretary petitions government

BOTTAX General Secretary Cynthia Wanyonyi Photo (courtesy) BY PETER KOMBE Kenya Boda Boda Tuk Tuk and Taxi Workers Union (BOTTAX Kenya) has faulted the government on claims of passing bills that do not favor the transport sector. Speaking to the media in Mombasa on Monday the union’s General Secretary Cynthia Wanyonyi said in most cases the government does not involve boda boda Tuk Tuk and other informal transport worker's representatives. She further noted that as stakeholders in the public transport sector the government fails to carry out effective public participation exercises as enshrined in the Kenyan constitution. “The government does not involve the public when making certain decisions,” she noted. Wanyonyi urged both the operators to register with the union to avoid being misled by what she claims are quack organisations. She urged the department concerned with registering cooperatives and other associations touching on the informal trans...

Mombasa county government commits ksh 3.5 million on FP in 2018-2019 financial year- says County adolescent coordinator

County AYSR coordinator Baraka Imani facilitating the session at Pride Inn Mombasa on Tuesday Photo by Peter Kombe   BY PETER KOMBE The county government of Mombasa has committed a financial kitty of ksh 3.5 million to boost family planning in the 2018 2019 financial year. The funds according to the county adolescent coordinator Baraka Imani will addressing some of the challenges that Mombasa locals face on issues of family planning. “The county government has committed a total of 3.5 million to boost FP uptake in Mombasa county” Baraka Imani county adolescent coordinator said Out of the 3.5 million the county has committed, a total of ksh 500,000 targets Adolescents’ Young and Sexual Reproductive Health (AYSRH) Speaking to the media in Mombasa on Tuesday Mombasa County adolescent and youth sexual reproductive officer Baraka Imani said the county is currently implementing two programs including family planning and AYSRH. “A total of ksh 500,000 has tar...

MALONZA AIDHINISHWA

Sasa ni afueni kwa waziri mteule wa utalii Peninah Malonza baada ya bunge la kitaifa kuidhinisha majina yote ya mawaziri wateule ikiwemo la Bi. Malonza. Malonza alinusuriwa baada ya bunge kukataa pendekezo la kamati hiyo kuwa asiidhinishwe. Wabunge wa mrengo wa Kenya Kwanza, waliunga mkono kuidhinishwa kwa Malonza, wakisema ana tajiriba ya kutosha na anapaswa kupewa fursa ya kuhudumu. Sasa majina ya mawaziri wateule walioidhinishwa yatawasilishwa kwa rais kwa uteuzi rasmi.