Skip to main content

Jamii ya watu wanaoishi na ulemavu Mombasa yapinga hatua ya kuwatathmini kila baada ya miaka mitano

Na Mwarandu Randu

Kushoto, mkurugenzi mkuu wa Tunaweza Women with Disability  Charity Chahasi na Lucy Chesi (picha) na Mwarandu Randu

Jamii ya watu wanaoishi na ulemavu kaunti ya Mombasa wamepinga hatua ya kuwatathmini inayotekelezwa kila baada ya miaka mitano na baraza la kitaifa la walemavu, National Council for People Living with Disability (NCPWD).

Akiongea na wanahabari Lucy Chesi kutoka bunge la walemavu kaunti ya Mombasa ametaja hatua hiyo kama dhulma dhidi ya walemavu.

Amesistiza kuwa ni sharti baraza hilo liwatathmini walemavu kote nchini mara moja tu na wala sio kila baada ya miaka mitano.

Chesi aidha amesistiza kuwa wameanzisha miradi ya kuwawezesha walemavu ili wapate kujinufaisha kiuchumi.

Wakati huo huo, Charity Chahasi mkurugenzi wa shirika la kijamii la Tunaweza Women with Disabilty lililoko Ziwa la Ng'ombe amelitaka baraza la walemavu nchini kuheshimu  haki za walemavu kwa kuzingatia mfumo wa sheria nchini.

Amelishtumu vikali baraza hilo kwa kile anachodai ni kukiuka haki za walemavu sawia na kuwadhulumu walemavu nchini.

Hata hivyo amesema kuna haja ya baraza hilo kutafuta njia mbadala ya kuwatathmini walemavu ikiwemo kuwapa vitambulisho vya kudumu wala sio baada ya miaka mitano.

Wamewataka walemavu kaunti ya Mombasa kujitokeza  kwa wingi ili kupigania haki zao katika jamii.




Comments

Popular posts from this blog

Involve all stakeholders when proposing new laws- BOTTAX General Secretary petitions government

BOTTAX General Secretary Cynthia Wanyonyi Photo (courtesy) BY PETER KOMBE Kenya Boda Boda Tuk Tuk and Taxi Workers Union (BOTTAX Kenya) has faulted the government on claims of passing bills that do not favor the transport sector. Speaking to the media in Mombasa on Monday the union’s General Secretary Cynthia Wanyonyi said in most cases the government does not involve boda boda Tuk Tuk and other informal transport worker's representatives. She further noted that as stakeholders in the public transport sector the government fails to carry out effective public participation exercises as enshrined in the Kenyan constitution. “The government does not involve the public when making certain decisions,” she noted. Wanyonyi urged both the operators to register with the union to avoid being misled by what she claims are quack organisations. She urged the department concerned with registering cooperatives and other associations touching on the informal trans

Mombasa Judge Gives Custody Of Minor to Her Sex Worker Mother

By Our Reporter . High court Justice John Onyiego has for the second time ordered that a child who had been earlier awarded to the father by a lower court which found the mother unfit to be shared among the couple. His judgement is notably similar to his first in which the mother failed to comply and vanished with the minor who has been missing for the better part of two weeks. According to his earlier ruling Justice John Onyiego’s stated, “If any party served with this order and fails to comply, with the same, shall be cited in contempt of court and is liable for a fine or imprisonment for a period not exceeding six months or both.” It is after the law caught up with her that the court delegated the lower court which promptly handed the child to then care of his father, former Scotland Yard Detective Kevin Hurley. However, in a petition by the mother to the high court in which Justice Onyiego delivered his ruling on 21st of this month, the judge in no uncertain terms declared t

Invest more in reproductive health budget- activists petition Mombasa county government

By M warandu Randu Human rights crusaders championing for youth rights have called on the Mombasa county government to pump in more funds in the health kitty in order to boost reproductive health amongst the youth. Addressing journalists in Mombasa on Wednesday during an engagement forum organized by Dream Achievers Youth Organization, DAYO, Sheenan Mbau, an activist from the Centre for the Study of Adolescence, CSA said accessing information regarding reproductive health among the youth is still a challenge. “I’m urging the county government of Mombasa to invest more in the health budget.  We know that the county has done so well but some more funds are needed to boost the reproductive health kitty for the youths” Ms Mbau explained She however lauded the strides made by the county government in the development and implementation of the youth strategy launched recently by the county. The activist noted that there is a need for the county government to construc