Skip to main content

Haki Africa yaitaka idara ya polisi kuchunguza kupigwa kinyama kwa mmoja mtaa wa bombolulu kaunti ya Mombasa



Na Godfrey aluda / Mwarandu Kombe
Mathias Shipeta afisa wa kitengo cha dharura katika shirika la kijamii la HAKI Afrika

Shirika la kutetea haki za kibinadamu la Haki Africa limeitaka idara ya usalama kaunti ya Mombasa kufanya uchunguzi wa kina  na kuwatia nguvuni wahudumu wa boda boda wanaodaiwa kumpiga na kumjeruhi vibaya kijana mmoja mwenye umri wa miaka 28 katika eneo la Bombolulu mapema juma hili.

Kulingana na afisa wa kitengo cha dharura katika shirika hilo Mathias Shipeta kijana huyo alivamiwa na baadhi ya wahudumu wa boda boda wanaohudumu eneo hilo ambao walimpiga na kujeruhi vibaya  baada ya kulumbana na mmoja wao.

Akizungumza na wanahabari mjini Mombasa Shipeta amelaani vikali kitendo hicho  na kuitaka idara ya usalama eneo hilo kuhakikisha kuwa uchunguzi unafanywa .

Shipeta aidha amefichua kuwa baadhi ya wahalifu hujifanya wahudumu wa boda boda na kuwaharibia jina wahudumu hao.

Amewataka wahudumu hao kutoa taarifa kwa maafisa wa polisi ili wahalifu hao wakabiliwe vilivyo.

Kijana huyo anaendelea kupokea matibabu katika hospitali kuu ya ukanda wa pwani .


Comments

Popular posts from this blog

Involve all stakeholders when proposing new laws- BOTTAX General Secretary petitions government

BOTTAX General Secretary Cynthia Wanyonyi Photo (courtesy) BY PETER KOMBE Kenya Boda Boda Tuk Tuk and Taxi Workers Union (BOTTAX Kenya) has faulted the government on claims of passing bills that do not favor the transport sector. Speaking to the media in Mombasa on Monday the union’s General Secretary Cynthia Wanyonyi said in most cases the government does not involve boda boda Tuk Tuk and other informal transport worker's representatives. She further noted that as stakeholders in the public transport sector the government fails to carry out effective public participation exercises as enshrined in the Kenyan constitution. “The government does not involve the public when making certain decisions,” she noted. Wanyonyi urged both the operators to register with the union to avoid being misled by what she claims are quack organisations. She urged the department concerned with registering cooperatives and other associations touching on the informal trans...

Mombasa county government commits ksh 3.5 million on FP in 2018-2019 financial year- says County adolescent coordinator

County AYSR coordinator Baraka Imani facilitating the session at Pride Inn Mombasa on Tuesday Photo by Peter Kombe   BY PETER KOMBE The county government of Mombasa has committed a financial kitty of ksh 3.5 million to boost family planning in the 2018 2019 financial year. The funds according to the county adolescent coordinator Baraka Imani will addressing some of the challenges that Mombasa locals face on issues of family planning. “The county government has committed a total of 3.5 million to boost FP uptake in Mombasa county” Baraka Imani county adolescent coordinator said Out of the 3.5 million the county has committed, a total of ksh 500,000 targets Adolescents’ Young and Sexual Reproductive Health (AYSRH) Speaking to the media in Mombasa on Tuesday Mombasa County adolescent and youth sexual reproductive officer Baraka Imani said the county is currently implementing two programs including family planning and AYSRH. “A total of ksh 500,000 has tar...

Learn instrumentals and write your own songs- Eric Wainaina tells upcoming artistes.

Eric Wainaina delivering a keynote address at Aga Khan Academy Mombasa on Saturday during the academy's 13th graduation ceremony   BY PETER KOMBE Eric Wainaina famed for his “Nchi ya Kitu Kidogo” song has told upcoming artistes to learn musical instruments besides writing their own songs. According to him this is the only way to stay relevant in the industry which he terms as being competitive. He says his new album ‘Dreams in Stereo’ is currently available in all digital platforms including mdundo.com, skiza and amazon tunes. The famed artiste says “the new album is one of my fine works.” The artist however denied claims that he was working behind the curtain rather he says he had earlier on produced two albums which according to him did not get good airplay. “The music industry like any other industry has both ups and downs,” he said. The new album “ Dreams in Stereo” is a vivid description of my life, love, passion and betrayal.” Asked wh...