Skip to main content

Katibu katika wizara ya habari mawasiliano na teknolojia Jerome Ochieng ahimiza ushirikiano baina ya serikali na sekta ya kibinafsi

Katibu katika wizara ya habari mawasiliano na teknolojia Jerome Ochieng Picha (Maktaba)


Na Godfrey Aluda na Peter Mwarandu  

Katibu katika wizara ya habari, mawasiliano na teknologia Jerome Ochieng ametaka kuwepo kwa ushirikiano mwema baina ya serikali na sekta ya kibinafsi ili kukuza na kuendeleza mfumo wa mawasiliano ya kimtandao nchini.

Akizungumza leo hapa jijini Mombasa katibu huyo amesema serikali inafanya kila jitihada ili kuboresha huduma za mtandao katika sekta nchini.

Katibu huyo hata hivyo amedokeza kuwa ili kuafikia malengo hayo serikali kupitia kwa wizara hiyo inanuia kuwekeza zaidi katika miundo misingi ya mawasiliano na teknolojia.

Ameongeza kuwa wizara hiyo itawekeza zaidi katika mfumo  wa mawasiliano ya nyaya za baharini ili kurahisisha utenda kazi katika sekta mbali mbali za serikali.

Jerome aidha amesistiza kuwa wizara hiyo itahakikisha kuwa mradi wa Mama Ngina uliozinduliwa hivi majuzi na rais Uhuru Kenyatta unaunganishwa na huduma za kimtandao ili kurahisisha mawasiliano eneo hilo.

Comments

Popular posts from this blog

Involve all stakeholders when proposing new laws- BOTTAX General Secretary petitions government

BOTTAX General Secretary Cynthia Wanyonyi Photo (courtesy) BY PETER KOMBE Kenya Boda Boda Tuk Tuk and Taxi Workers Union (BOTTAX Kenya) has faulted the government on claims of passing bills that do not favor the transport sector. Speaking to the media in Mombasa on Monday the union’s General Secretary Cynthia Wanyonyi said in most cases the government does not involve boda boda Tuk Tuk and other informal transport worker's representatives. She further noted that as stakeholders in the public transport sector the government fails to carry out effective public participation exercises as enshrined in the Kenyan constitution. “The government does not involve the public when making certain decisions,” she noted. Wanyonyi urged both the operators to register with the union to avoid being misled by what she claims are quack organisations. She urged the department concerned with registering cooperatives and other associations touching on the informal trans...

Mombasa county government commits ksh 3.5 million on FP in 2018-2019 financial year- says County adolescent coordinator

County AYSR coordinator Baraka Imani facilitating the session at Pride Inn Mombasa on Tuesday Photo by Peter Kombe   BY PETER KOMBE The county government of Mombasa has committed a financial kitty of ksh 3.5 million to boost family planning in the 2018 2019 financial year. The funds according to the county adolescent coordinator Baraka Imani will addressing some of the challenges that Mombasa locals face on issues of family planning. “The county government has committed a total of 3.5 million to boost FP uptake in Mombasa county” Baraka Imani county adolescent coordinator said Out of the 3.5 million the county has committed, a total of ksh 500,000 targets Adolescents’ Young and Sexual Reproductive Health (AYSRH) Speaking to the media in Mombasa on Tuesday Mombasa County adolescent and youth sexual reproductive officer Baraka Imani said the county is currently implementing two programs including family planning and AYSRH. “A total of ksh 500,000 has tar...

Learn instrumentals and write your own songs- Eric Wainaina tells upcoming artistes.

Eric Wainaina delivering a keynote address at Aga Khan Academy Mombasa on Saturday during the academy's 13th graduation ceremony   BY PETER KOMBE Eric Wainaina famed for his “Nchi ya Kitu Kidogo” song has told upcoming artistes to learn musical instruments besides writing their own songs. According to him this is the only way to stay relevant in the industry which he terms as being competitive. He says his new album ‘Dreams in Stereo’ is currently available in all digital platforms including mdundo.com, skiza and amazon tunes. The famed artiste says “the new album is one of my fine works.” The artist however denied claims that he was working behind the curtain rather he says he had earlier on produced two albums which according to him did not get good airplay. “The music industry like any other industry has both ups and downs,” he said. The new album “ Dreams in Stereo” is a vivid description of my life, love, passion and betrayal.” Asked wh...