Skip to main content

Gavana Joho na hasimu wake wa kisiasa Suleiman Shahbal wazika tofauti zao za kisiasa



Gavana wa Mombasa Ali Hassan Joho akisalimiana na hasimu wake wa kisiasa Suleiman Shahbal. PICHA Mwarandu Randu
Mwarandu Randu na Godfrey Aluda

Gavana wa kaunti ya Mombasa Ali Hassan Joho na hasimu wake wa kisiasa Suleiman Shahbal wameamua kuzika tofauti zao za kisiasa kwa manufaa ya wakaazi wa kaunti ya Mombasa.

Wakizungumza na wanahabari leo katika afisi za gavana hapa jijini  Mombasa, Joho amesema kuwa tofauti za kisiasa sio kigezo cha kutengana na kuwekeana uadui baina yao.

Joho amedokeza kuwa ataendelea kufanya majadiliano ya mara kwa mara na mpinzani wake ili kutafuta suluhu  la  kudumu kwa changamoto zinazowakabili wakaazi wa Mombasa.

Hata hivyo gavana huyo amepongeza mwafaka wa maelewano baina ya rais Uhuru Kenyatta na kinara wa upinzani Raila Odinga.

Wakati uo huo, Suleiman Shahbal amewataka viongozi wa ukanda wa pwani kuzika tofauti zao za kisiasa na badala yake waangazie miradi ya maendeleo.

Shahbal hata hivyo ameitaka serikali kuu kuwapa kipaumbele wawekezaji wa humu nchini wakati wa kutekelezwa kwa mradi wa Dongo Kundu.

Amesema kuna haja ya serikali kuu kuzingatia kikamilifu wawekezaji wa humu nchini huku akisistiza kuwa wana uwezo wa kuteleleza mradi huo.

Gavana Joho Suleiman Shahbal na Gavana wa Nairobi Mike Sonko
Kwa upande wake gavana wa kaunti ya Nairobi Mike Mbuvi amewahimiza viongozi nchini kukumbatia mwafaka huo ili kuwanunganisha wananchi mashinani.

Aidha Sonko amewapongeza viongozi hao kwa kukubali kuweka kando tofauti zao za kisiasa na kuamua kushirikiana katika kukuza uchumi wa kaunti ya Mombasa.

Itakumbukwa kwamba gavana joho na Suleiman Shahbal walikuwa mahasimu wa kisiasa katika uchaguzi mkuu uliopita.




Comments

Post a Comment

Popular posts from this blog

Involve all stakeholders when proposing new laws- BOTTAX General Secretary petitions government

BOTTAX General Secretary Cynthia Wanyonyi Photo (courtesy) BY PETER KOMBE Kenya Boda Boda Tuk Tuk and Taxi Workers Union (BOTTAX Kenya) has faulted the government on claims of passing bills that do not favor the transport sector. Speaking to the media in Mombasa on Monday the union’s General Secretary Cynthia Wanyonyi said in most cases the government does not involve boda boda Tuk Tuk and other informal transport worker's representatives. She further noted that as stakeholders in the public transport sector the government fails to carry out effective public participation exercises as enshrined in the Kenyan constitution. “The government does not involve the public when making certain decisions,” she noted. Wanyonyi urged both the operators to register with the union to avoid being misled by what she claims are quack organisations. She urged the department concerned with registering cooperatives and other associations touching on the informal trans

Mombasa Judge Gives Custody Of Minor to Her Sex Worker Mother

By Our Reporter . High court Justice John Onyiego has for the second time ordered that a child who had been earlier awarded to the father by a lower court which found the mother unfit to be shared among the couple. His judgement is notably similar to his first in which the mother failed to comply and vanished with the minor who has been missing for the better part of two weeks. According to his earlier ruling Justice John Onyiego’s stated, “If any party served with this order and fails to comply, with the same, shall be cited in contempt of court and is liable for a fine or imprisonment for a period not exceeding six months or both.” It is after the law caught up with her that the court delegated the lower court which promptly handed the child to then care of his father, former Scotland Yard Detective Kevin Hurley. However, in a petition by the mother to the high court in which Justice Onyiego delivered his ruling on 21st of this month, the judge in no uncertain terms declared t

Invest more in reproductive health budget- activists petition Mombasa county government

By M warandu Randu Human rights crusaders championing for youth rights have called on the Mombasa county government to pump in more funds in the health kitty in order to boost reproductive health amongst the youth. Addressing journalists in Mombasa on Wednesday during an engagement forum organized by Dream Achievers Youth Organization, DAYO, Sheenan Mbau, an activist from the Centre for the Study of Adolescence, CSA said accessing information regarding reproductive health among the youth is still a challenge. “I’m urging the county government of Mombasa to invest more in the health budget.  We know that the county has done so well but some more funds are needed to boost the reproductive health kitty for the youths” Ms Mbau explained She however lauded the strides made by the county government in the development and implementation of the youth strategy launched recently by the county. The activist noted that there is a need for the county government to construc